forked from WA-Catalog/sw_tn
477 B
477 B
Kwa sababu hii
" Kwa sababu watu hawapendi kweli"
Mungu anawatumia kazi yenye uongo ili waamini uongo
Paulo anaongea kuwa Mungu anaruhusu kitu kutokea kwa watu kana kwamba anawatumia. AT: "Mungu anaruhusu mtu wa kuasi awadanganye"
wote watahukumiwa
Hii inaaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT:" Mungu atawahukumu wote"
wale ambao hawakuamini kweli badala yake wakajifurahisha katika udhalimu
"wale ambao walifurahia udhalimu kwa sababu hawakuiamini kweli"