sw_tn/2th/02/11.md

477 B

Kwa sababu hii

" Kwa sababu watu hawapendi kweli"

Mungu anawatumia kazi yenye uongo ili waamini uongo

Paulo anaongea kuwa Mungu anaruhusu kitu kutokea kwa watu kana kwamba anawatumia. AT: "Mungu anaruhusu mtu wa kuasi awadanganye"

wote watahukumiwa

Hii inaaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT:" Mungu atawahukumu wote"

wale ambao hawakuamini kweli badala yake wakajifurahisha katika udhalimu

"wale ambao walifurahia udhalimu kwa sababu hawakuiamini kweli"