sw_tn/2sa/23/22.md

478 B

alifanya matendo haya

"alifanya matendo haya makuu"

naye alitajwa kati ya mashujaa watatu

"watu walimsifu kama wale mashujaa watatu"

Alikuwa na heshima kuliko mashujaa thelathini kwa ujumla wao, lakini hakuwa na heshima kama wale mashujaa watatu

"Alikuwa maarufu zaidi ya askari wale 30 isopokuwa wale watatu bora zaidi"

wale mashujaa zaidi watatu

Hii inamaanisha Yoshebu Bashebethi, Eleaza, na Shama.

mlinzi wake

Kundi la askari waliowajibika kumlinda Daudi