sw_tn/2sa/23/13.md

490 B

Watatu kati ya thelathini

Hawa siyo askari waliotajwa katika 23:8

thelathini

"30" au "Askari thelathini wa Israeli waliokuwa mashujaa zaidi"

Pango la Adulamu

"Pango lililopo karibu na mji wa Adulamu." "Adulamu ipo karibu na Bethlehemu.

Bondel la Mrefai

Mrefai ni mtu aliyekuwa mmiliki wa bonde.

katika ngome yake

"katika eneo lake la ulinzi"

Wafilisiti wlikuwa wamejieneza katika Bethlehemu

"Baadhi ya askari wa Wafilisiti walikuwa wakimiliki kijiji cha Bethlehemu"