forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
814 B
Markdown
20 lines
814 B
Markdown
# Maelezo ya Ujumla
|
|
|
|
Hii inaendeleza maneno ya mwisho ya Daudi.
|
|
|
|
# Mungu wa Israeli alinena, Mwamba wa Israeli... nami
|
|
|
|
Hapa "Mungu wa Israeli" na "Mwamba wa Israeli" ni yuleyule. Vingungu vyote viwili vinazungumzia jambo moja la msingi. Daudi anamlinganisha Mungu na mwamba kusisitiza uwezo wake wa kulinda watu.
|
|
|
|
# Atawalaye kwa haki juu yangu, atawalaye katika hofu ya Mungu
|
|
|
|
Mistari miwili hii inasema kwamba mfalme atamweshimu Mungu na kufanya Mungu anachotaka.
|
|
|
|
# kwa hofu ya Mungu
|
|
|
|
"kumweshimu Mungu"
|
|
|
|
# Atakuwa kama mwanga wa asubuhi...nuru ya jua baada ya mvua
|
|
|
|
Hapa Mungu anamlinganisha mfalme na nuru ya asubuhi na nuru ya jua baada ya mvua. Zote ni njia za kusema mfalme huyu angekuwa wa kupendwa na Mungu na baraka kwa watu. Vifungu hivi viwili vina maana inayofanana na vimetumika kwa msisitizo.
|