sw_tn/2sa/23/01.md

620 B

Basi

Hii inaonesha mwanzo wa sehemu nyingine ya kitabu

haya ni maneno ya mwisho

Hii inaonesha atakachokisema Daudi katika 23:1.

mtu aliyeheshimiwa sana, aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo

Hii yaweza kumaanisha: "Mtu ambaye Mungu wa Yakobo alimweshimu na kumtia mafuta"

aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo

Kutiwa mafuta kulifanywa kwa kumimina mafuta juu ya kichwa cha mtu katia kuchagua ambaye angemtumikia Mungu kama mfalme au kuhani.

Mzaburi

Huyu ni mtu aandikaye zaburi au nyimbo.

kwangu

kwa Daudi

na neno lake lilikuwa katika ulimi wangu

"juu ya ulimi wangu" ni usemi unaomaanisha Daudi.