sw_tn/2sa/22/42.md

395 B

Maelezo ya Jumla:

Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea

Walilia

"adui zangu walilia"

walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu

Muda wa hukumu ya Yahwe juu yao ilikuwa juu yao.

kama vumbi juu ya ardhi... kama matope mitaani

Inamaanisha Daudi aliwaangamiza adui zake kabisa. Vifungu hivi viwili "kama vumbi juu ya ardhi" na "kama tope mitaani" vina maana moja na vimetumika kwa msisitizo.