sw_tn/2sa/21/07.md

482 B

Mefiboshethi

Alikuwa mwana wa Yonathani.

Rispa... Aiya

Rispa alikuwa mwanamke na babaye aliitwa Aiya.

Amoni na Mefiboshethi... Adrieli... Barzilai

Haya ni majina ya wanaume. Huyu siyo Mefiboshethi mwana wa Yonathani.

Mikali

Hili ni jina la binti wa mfalme Sauli na alikuwa mke wa kwanza wa Daudi.

Mmeolathi

Hili ni jina la kundi la watu.

Akawakabidhi katika mikono ya Wagibeoni.

"mikono ya wagibeoni" inamaanisha Wagibeoni.

Wakauawa

Wagibeoni waliwauwa.