sw_tn/2sa/18/14.md

277 B

Sitakusubiri

Yoabu anamaanisha kwamba hawezi kusubiri kwa kuongea na yule mtu.

Moyo wa Absalomu

Hapa moyo wa Absalomu unatajwa kama kifua au sehemu ya juu ya mwili.

Silaha

Hii inarejerea vyote viwili silaha za kuvaliwa kwa kujilinda na silaha za kumshambulia adui.