Sitakusubiri
Yoabu anamaanisha kwamba hawezi kusubiri kwa kuongea na yule mtu.
Moyo wa Absalomu
Hapa moyo wa Absalomu unatajwa kama kifua au sehemu ya juu ya mwili.
Silaha
Hii inarejerea vyote viwili silaha za kuvaliwa kwa kujilinda na silaha za kumshambulia adui.