sw_tn/2sa/13/37.md

376 B

Talmai... Amihudi

Haya ni majina ya wanaume.

kwa ajili ya mwanawe

"mwanawe Amnoni"

Alipokuwa kwa miaka mitatu

"Alipokaa kwa muda wa miaka mitatu"

Akili wa Mfalme Daudi ulitamani

Hapa Daudi anarejerewa kwa moyo wake kusisitiza mawazo yake.

Maana alikuwa amefarijika kuhusu Amnoni na kifo chake.

"Hii ni kwa sababu hakuwa na huzuni tena juu ya Amnoni kufa.