sw_tn/2sa/11/24.md

557 B

Warusha mishale wao warusha

"Walirusha mishale"

Baadhi ya watumishi wa mfalme waliuawa

"Waliwauwa baadhi ya watumishi wa mfalme"

Mtumishi wako Uria Mhiti ameuawa

"Walimwua mtumishi wako Uria pia"

Watumishi wa mfalme

Hapa "watumishi" inarejerea askari, siyo watumwa, kwa sababu askari walikuwa watumishi wa mfalme.

Maana upanga hula huyu kama ulavyo mwingine.

Hapa "upanga" inarejerea kwa mtu anayemwua mwingine kwa upanga. Kumwua mtu kwa upanga unazungumzwa kama vile ni "kula" watu.

Ongezeni mashambulizi

"Piganeni kwa nguvu zaidi"