forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
439 B
Markdown
12 lines
439 B
Markdown
# Yoabu alituma neno kwa Daudi
|
|
|
|
"Kutuma neno" kunamaanisha kuwa alituma mjumbe kutoa taarifa kwa Daudi
|
|
|
|
# Kwa nini mlikaribia hivyo... kutoka katika ukuta?
|
|
|
|
Yoabu anasema kwamba Daudi anaweza kumkemea kwa kuuliza swali hili. Yaweza kuwa "Hamkupaswa kuwa mmeukaribia mji hivyo ili kupigana nao. Kwani wangeweza kurusha mishale kutokea ukutani"
|
|
|
|
# Piga kutoka ukutani
|
|
|
|
Inaonesha watu wa mji wakirusha mishale kwa adui wao kutokea ukutani.
|