sw_tn/2sa/07/18.md

809 B

Mimi ni nani, Yahwe Mungu, na familia yangu ni nini hata umenileta katika kiwango hiki?

Daudi anauliza swali hili kuonesha hisia za ndani alizozihisi baada ya kusikia tamko ya Yahwe. Swali hili lisiloitaji jibu laweza kufasiriwa: "mimi na familia yangu hatusitahili heshima hii, Yahwe Mungu."

Hili lilikuwa jamba dogo mbele yako

Hapa "mbele yako" inawakilisha alichokikusudia Yahwe kiwe.

familia ya mtumishi wako

Hapa Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako."

Kwa kitambo kijacho

Hii inaongelea wakati kama kitu fulani kisafiricho na kuwasili mahali fulani.

Nini zaidi, Mimi Daudi naweza kukwambia?

Daudi anatumia swali hili kusisitiza kwamba hana kilichaobaki cha kumwambia Yahwe.

mtumishi wako

Hapa Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako." Hii yaweza kuelezwa katika nafsi ya kwanza