sw_tn/2sa/05/13.md

393 B

Shamua...Shobabu...Nathani...Sulemani...Ibari...Elisha...Nefegi...Eliada...Elifeleti

Haya ni Majin ya wana wa Daudi

wana na binti walizaliwa kwake

hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "alikuwa na wana zaidi na mabinti" au "walimzalia wana zaidi na mabinti"

waliozaliwa kwake

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani "kwamba wakeze walimzalia" au "alikuwa"