sw_tn/2sa/05/08.md

362 B

Daudi akasema, "Watakaowapiga Wayebusi

Daudi alikuwa akiongea na askari wake. Yaani: Daudi aliwambia askari wake, "Wanaotaka kuwa ondoa Wayebus" (UDB)

'Vipofu na vilema'

Maana pendekezwa ni 1) hii inarejerea kwa watu ambao ni vilema na vipofu kweli au 2) hii ni maana inayoonesha Wayebusi ndani ya Yerusalemu kama wote walikuwa dhaifu na wasio na uwezo.