sw_tn/2sa/03/35.md

384 B

watu wote wakaja

Huku kutia chumvi kwa kukusudia kunatumika kuonesha kuwa taifa la Israeli kumjari Daudi katika uzuni yake. Yaani:"Watu wengi walikuja"

Mungu na anifanyie hivyo, na zaidi, ikiwa

Huu ni muundo wa nadhiri ya dhati wakati huo. Daudi anamwomba Mungu kumhukumu kwa ukali ikiwa atakula chochote kabla ya jua kuchwa. Yaani "Ninamwomba Mungu anaifanyie hivyo ikiwa"