sw_tn/2sa/03/27.md

524 B

katikati ya lango

Hii inahusu mojawapo ya malango katika ukuta wa mji huko Hebroni. Kama UDB inavyoonesha, malango ya mji yalijengwa kama sehehu ya majengo yaliyowekwa ukutani. Ndani ya njia kulikuwa na milango kuelekea vyumba vya ndani, mahali wageni wangepokelewa na biashara na shughuli za kimahakama zingefanyika. Yawezekana ilikuwa ndani ya mojawapo ya vyumba hivi Yoabu alimwua Abneri

damu ya Asaheli

Hapa "damu"inahusishwa na kifo cha Asaheli. Yaani: "kifo cha Asaheli"

Asaheli

Hili ni jina la mwanamme.