sw_tn/2sa/03/22.md

257 B

mateka

Hivi ni vitu vinavyochukuliwa kutoka kwa adui.

Abneri hakuwa na Daudi huko Hebroni

Tiyari Abneri alikuwa ameondoka kurudi nyumbani.

wakamwambia Yoabu

"mtu fulani alimwambia Yoabu"

Neri

Hili ni jina la mwanamme. Yeye ni babu wa Sauli.