sw_tn/2sa/03/08.md

672 B

Je mimi ni kichwa cha mbwa aliye wa Yuda?

Swali hili limetumiwa na Abnera kama hasira ya kukataa lawama ya Isboshethi. Hinaweza kufasriwa kama taarifa. Yaani "mimi siyo msaliti nikimtumikia Daudi!"

mkonono mwa Daudi

Hapa "mkono"inawakilisha nguvu ya kushinda.

Na bado leo unaniraumu kwa ajili ya huyu mwanamke?

Abneri anauliza swali hili kwa ajili ya kumkemea Ishboshethi. Haiko wazi kama kweli Abneri alilala na Rispa, au kama aliraumiwa kwa uongo. Maana yake inaweza kuwa 1) Abneri alikuwa na hatia. Yaani "haupaswi kujisikia vibaya kwamba nililala na mwanamke huyu!" au 2) Abneri hakuwa na hatia. Yaani "haupaswi kudhani kwamba nimelala na mwanamke huyu!"