sw_tn/2pe/03/17.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Petro anamalizia kuwaelekeza wakristo na kumalizia barua yake.

Hivyo, wapendwa kwa kuwa mnayafahamu hayo.

"Hayo" urejea kwa ukweli kuhusu uvumilivu wa Mungu na mafundisho ya walimu wa uongo.

jilindeni wenyewe

"jilindeni wenyewe"

ili kwamba msipotoshwe na udanganyifu wa walaghai

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "ili kwamba walaghai wasiwapotoshe kwa maneno yao ya udaganyifu

msipotoshwe...udanganyifu

Kushawishiwa kuto mtii Mungu kunaongelewa kama kuondolewa katika njia sahihi ya kufuata. Udanganyifu na mafundisho ya uongo yanaongelewa kama watu wanaoweza kumoongoza mtu nje ya njia sahihi.

kupoteza uaminifu wako

Uaminifu unaongelewa kama kitu cha kumiliki ambacho wakristo wanaweza kukipoteza. "wewe acha kuwa mwaminifu"

mkue katika neema na ufahamu

"kuongozeka katika neema na ufahamu"

neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo

Unaweza kutofasiri "neema" na 'ufahamu" kutumia maneno kitenzi. Ona utakavyo tofasiri maneno hayo hayo katika 1:1 na 1:8 na 2:20. "kuwa na uzoefu zaid na zaid na Bwana na Mwokozi Yesu Kristo kukutenda wema wewe, na kwamba unapata kumjua yeye vizuri na vizuri"