1.4 KiB
jitahidi kuwa makini na kutolaumika na kuwa na amani pamoja naye
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "jitahidi kuishi katika njia ili kwamba Mungu asikute doa na kulaumiwa na kuwa na amani na yeye na kila mmoja"
doa na kutolaumiwa
Maneno "doa" na "kutolaumiwa" kimsingi umaanisha kitu kile kile na kusisitiza maadili ya usafi."usafi kamili"
doa
Hii usimama kwa ajili ya "kosa"
zingatia uvumilivu wa Bwana wetu katika wokovu
Kwa sababu Bwana ni mvumilivu, siku ya hukumu bado haijatokea. Hii uwapa watu fursa ya kutubu na kuokolewa, kama alivyo elezea katika 3:8. "Pia, nafikiri kuhusu uvumilivu wa Bwana wetu kama kukupa fursa ya kutubu na kuokolewa"
kutokana na hekima ambayo alipewa.
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "kutokana na hekina ambayo Mungu alimpa"
Paulo anaongelea hayo yote katika barua zake,
"Paulo anaongelea katika barua zake uvumilivu wa Mungu kuwaongoza katika wokovu"
kuna vitu ambavyo ni vigumu kuvielewa.
Kuna vitu katika barua za Paulo ambavyo ni vigumu kuvielewa.
Watu wasio na adabu na uimara wameviharibu vitu hivyo
watu wajinga na wasio na uimara hutofasiri vibaya vitu katika barua za Paulo kwamba ni ngumu kuelewa.
Wajinga na uimara
"Wasio wa kawaida na legarega" Hawa watu hawajafundishwa namba ya kutofasiri maandiko na hawajafanywa imara katika ukweli wa injili.
Kuelekea maangamizi yao.
"matokea yake ni maangamizi yao"