sw_tn/2pe/03/11.md

806 B

Sentensi unganishi

Petro anaanza kwa kuwaambia wakristo namna watakavyo ishi wakati wanasubiri siku ya Bwana.

Kwa kuwa vitu vyote vitateketezwa kwa njii hii.

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Tangu Mungu atahukumu mambo haya yote katika njia hii"

je utakuwa mtu wa aina gani?

Petro anatumia swali la kejeli kusisitiza kile atakachosema badae, kwamba "wanapaswa kuishi maisha ya utakatifu na utaua" "unajua ni aina gani ya watu wanapaswa kuwa"

mbingu itateketezwa kwa moto, na vitu vitayeyushwa katika joto kali

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu ataangamiza mbingu kwa moto, na ataviyeyusha

sehemu ambayo watakatifu wataishi

Petro anazungumza juu ya "utakatifu" kama ilivyokuwa kwa mtu. HIki ni kirai cha watu anaishi au sehemu ya watu watakao ishi kwa utakatifu.