sw_tn/2pe/03/03.md

880 B

Ujue ili kwanza

"Ujue hili kama jambo la muhimu sana."

wakienenda saswasa na matakwa yao

Hapa neno "matakwa" urejea kwa tamaa mbaya ambazo ziko kinyume na mapenzi ya Mungu. "kuishi sawasawa na tamaa zao mbaya"

kuendelea

kitendo, tenda

Iko wapi ahadi ya kurudi kwake?

Wabishi wanauuliza swali la utupu kusisitiza kuwa hawaamini kuwa Yesu atarudi. Neno "ahadi" urejea kwa kutimizwa kwa ahadi kuwa Yesu atarudi. "Ahadi ya kuwa Yesu atarudi sio kweli! Hatarudi!

Baba zetu walikufa

Hapa "Baba" urejea kwa mababu walioishi zamani. "Walikufa" ni lugha ikimaanisha walikufa.

vitu vyote vilikuwa hivyo tangu mwanzo wa uumbaji.

Wabishi wanajadili kwamba hakuna chochote katika ulimwengu kimeweza kubadilika, haiwezi kuwa kweli kwa Yesu kurudi.

tangu mwanzo wa uumbaji.

Hii inaweza kutofasiriwa kama kikundi cha maneno ya kitenzi. "Kwani Mungu aliumba ulimwengu"