sw_tn/2pe/02/07.md

648 B

alimwokoa Ltu mtu wa haki

Mungu alimwokoa Lutu aliyeishi maisha ya tabia njema

akitesa nafsi yake kwa ajili ya yale alyosikia na kuyaona

Lutu aliendelea kuteseka na kuhrasiwa na tabia za anasa za wenyeji wa Sodoma na Gomora

tabia chafu za wsiofuata sheria

"anasa na tabia inayoharibika ya watu waliovunja sheria ya Mungu"

mtu wa haki

Hii inamaanisha Lutu mtu wa haki

watu wa Mungu

"watu wanaomtii Mungu"

alikuwa akitesa roho yake

Aliusumbua utu wake wa ndani

jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajil ya hukumu skatika siku ya mwisho

Watu wasio haki hawataiepuka hukumu ya Mungu. Watakapokufa watakataliwa mpaka siku ya hukumu