forked from WA-Catalog/sw_tn
507 B
507 B
Pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu
Petro anamaanisha yeye mwenyewe na yule mwanafunzi mwingine, Yakobo, na Yohana waliposikia ile sauti ya Mungu.
Kwa kuwa sisi hatukufuata hadithi zilizoingizwa kwa ustadi
Kwa kuwa sisis mitume hatukufuata hadtibzilizotengenezwa kwa ustadi
Yetu
waumini wote ikijumuisha sisi mitume
Pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima matakatifu
Petro anamaanisha wakati ule Yesu alipobadilika sura yake ikang'aa mbele ya Petro, Yakobo na John (Tazama Mathayo)