sw_tn/2pe/01/16.md

507 B

Pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu

Petro anamaanisha yeye mwenyewe na yule mwanafunzi mwingine, Yakobo, na Yohana waliposikia ile sauti ya Mungu.

Kwa kuwa sisi hatukufuata hadithi zilizoingizwa kwa ustadi

Kwa kuwa sisis mitume hatukufuata hadtibzilizotengenezwa kwa ustadi

Yetu

waumini wote ikijumuisha sisi mitume

Pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima matakatifu

Petro anamaanisha wakati ule Yesu alipobadilika sura yake ikang'aa mbele ya Petro, Yakobo na John (Tazama Mathayo)