sw_tn/2pe/01/10.md

363 B

kwa hiyo

Neno "kwa hiyo" linaanzisha mwitikio wa waumini kwa kile kilichosemwa mapema.

kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu

Neno " wito" linamaanisha mwaliko wa ujula waMungu kwa watu wote. Neno "uteule" linamaanisha watu maalumu ambao Mungu amewchagua. Maneno haya mawili yana maana sawa.

hamtajikwaa

hamtashindwa kiroho na katika tabia njema