forked from WA-Catalog/sw_tn
363 B
363 B
kwa hiyo
Neno "kwa hiyo" linaanzisha mwitikio wa waumini kwa kile kilichosemwa mapema.
kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu
Neno " wito" linamaanisha mwaliko wa ujula waMungu kwa watu wote. Neno "uteule" linamaanisha watu maalumu ambao Mungu amewchagua. Maneno haya mawili yana maana sawa.
hamtajikwaa
hamtashindwa kiroho na katika tabia njema