sw_tn/2ki/25/18.md

649 B

Kamanda wa mlinzi

maneno yametokea sawa sawa katika 25:8.

Seraya

Hili ni jina la mtu.

kuhani wa pili

Hili neno linamrejea Zefania. Maana nyingine iwezekanayo ni "kuhani chini ya Seraya."

walinzi wa lango

Tafsiri kama katika 7:9.

chukua mfungwa

"chukua na kutunza bila kukimbia"

afisa aliyekuwa msimamizi wa maaskari

Tafsiri nyingine inaweza kusomwa "towashi aliyekuwa msimamizi wa maaskari." Towashi ni mtu ambaye ametolewa sehemu zake za siri.

wajibu wa afisa kwa kugawa kundi la watu kwenye jeshi

Maana ziwezekanazo 1) afisa kulazimisha watu kuwa maaskari au 2) afisa kuandika chini majina ya watu watakaokuwa maaskari.