forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
690 B
Markdown
20 lines
690 B
Markdown
# Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe
|
|
|
|
Baadhi ya matoleo yana, "Ilikuwa baada ya mda mfupi kwa sababu hasira ya Yahwe," ambayo ni nzuri kusoma ujumbe halisi.
|
|
|
|
# kwenye kinywa cha Yahwe
|
|
|
|
Hapa "mdomo" unawakilisha amri ya Yahwe. "kama Yahwe alivyoamuru"
|
|
|
|
# waondoe kwenye uso wake
|
|
|
|
"kuwaondoa" au "waharibu"
|
|
|
|
# damu isiyo na hatia aliyoimwaga
|
|
|
|
Damu ni ishara kwa ajili ya uhai usio na hatia, na kumwaga damu ni ishara ya kuua watu wasio na hatia. "watu wasio na hatia aliowaua"
|
|
|
|
# aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia
|
|
|
|
Damu ni ishara kwa uhai usio na hatia, na kumwaga damu ni ishara ya kuwaua watu wasio na hatia. "aliwaua watu wengi wasio na hatia katika Yerusalemu"
|