sw_tn/2ki/19/01.md

271 B

nyumba ya Yahwe

Hii ni njia nyingine ya kusema "hekalu la Yahwe."

Eliakimu ... Shebna ... Isaya ... Amozi

Haya ni majina ya wanaume.

Alimtuma Eliakimu

"Hezekia alimtuma Eliakimu"

wote walikuwa wamefunikwa na nguo za magunia

"wote waliovaa nguo za magunia"