forked from WA-Catalog/sw_tn
521 B
521 B
Hoshea mwana wa Elahi
Hoshea akawa mfalme wa ufalme wa kaskazini ya Israeli.
Elahi
Hili ni jina la mwanamume.
Alitawala Samaria
Samaria ilikuwa mji mkuu wa Israeli.
uovu katika uso wa Yahwe
Hakutii sheria za Yahwe kama alivyopewa na Musa. "Katika uso wa " ni mfano kwa ajili ya hukumu au maoni. "uovu kwa Yahwe"
Hoshea akawa mtumishi na kumletea kodi
Hoshea akafanya kama Mfalme wa Ashuru alivyomwamuru na kumletea pesa ili kwamba Mfalme asiiangamize Israeli.
Shalmanesa
Hili ni jina la mwanamume.