forked from WA-Catalog/sw_tn
523 B
523 B
je hayajaandikwa ... Yuda?
Hili swali lilitumika pengine kuwajulisha au kuwakumbusha wasomaji ambao habari kuhusu Yothamu ipo katika hiki kitabu kingine. "yaliandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Yuda."
Ahazia akalala na wazee wake
Kulala inawakilisha kufa. "Ahazia akafa kama wazee wake walivyokufa" au "kama wazee wake, Ahazia alikufa"
na alizikwa pamoja nao
"na watu walimzika pamoja na wazee wake"
akawa mfalme katika mahali pake
Hili neno "katika mahali pake." "akawa mfalme badala ya Ahazi"