forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.3 KiB
Markdown
44 lines
1.3 KiB
Markdown
# Katika siku za Peka mfalme wa Israeli
|
|
|
|
Inaweza kuelezwa wazi kwamba hii inarejea kwenye wakati wa utawala wa peka. "Katika siku za utawala wa Peka mfalme wa Israeli" au "Kipindi wakati ambao Peka alikuwa mfalme wa Israeli"
|
|
|
|
# Tiglath Pileseri
|
|
|
|
Katika Biblia 2 Wafalme huyu mtu alikuwa akiitwa "Puli"
|
|
|
|
# Iyoni ... Abel Beth Maaka ... Yanoa ... Kadeshi ... Hazori ... Gileadi ... Galilaya ... Naftali
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji au mikoa.
|
|
|
|
# Akawachukua watu kwenda Ashuru
|
|
|
|
Hapa "Yeye" inarejea kwa Tiglathi Pileseri na inamuwakilisha yeye na jeshi lake. Kuwabeba watu wa Ashuru. "Yeye na jeshi lake waliwalazimisha watu kwenda Ashuru
|
|
|
|
# watu
|
|
|
|
Inaweza kuwekwa wazi hawa ni watu wa namna gani. "wata wa hayo maeneo" au "watu wa Israeli"
|
|
|
|
# Hoshea ... Ela
|
|
|
|
Haya ni majina ya kiume
|
|
|
|
# njama
|
|
|
|
Njama ni mpango wa siri kwa kundi kufanya madhara kwa mwingine au kitu.
|
|
|
|
# Alimshambulia na kumuua
|
|
|
|
"Hoshea alimshambulia na kumuua"
|
|
|
|
# akawa mfalme katika mahali pake
|
|
|
|
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake." akawa mfalme badala ya Peka"
|
|
|
|
# katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia
|
|
|
|
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huo ni mwaka wa ishirini wa utawala wake. "Katika mwaka wa 20 wa utawala wa Yothamu mwana wa Uzia"
|
|
|
|
# yameandikwa katika Kitabu cha Matukio cha Wafalme wa Israeli
|
|
|
|
"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli"
|