sw_tn/2ki/15/06.md

534 B

je hayajaandikwa ... Yuda?

Hili swali limetumika pengine kufahamisha au kukumbusha wasomaji kwamba habari kuhusu Azaria zipo katika hiki kitabu. "yameandikwa ... uda."

Azaria akalala na wazee wake

Kulala inawakilisha kufa. "Azaria alikufa kama wazee wake" au "kama wazee wake, Azaria alikufa"

walimzika pamoja na wazee wake

"familia yake ilimzika walipozikwa wazee wake walipokuwa wamezikwa"

akawa mfalme katika mahali pake

Neno "katika mahali pake" ni sitari ikimaanisha "badala yake." "akawa mfalme badala ya Azaria"