forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
849 B
Markdown
32 lines
849 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya kifo cha Mfalme Amazia.
|
|
|
|
# Wakamrudisha juu ya farasi
|
|
|
|
"Wakaurudhisha mwili wa Amazia juu ya farasi"
|
|
|
|
# Watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Amazia
|
|
|
|
Hii inajumiosha. Baadhi watu wanaweza wasimtake kuwa mfalme. "Watu wa Yuda walimchukua Azaria akiwa na miaka 16 na kumfanya kuwa mfalme baada ya baba yake, Amazia"
|
|
|
|
# Alikuwa Azaria aliyeijenga Elathi
|
|
|
|
Azaria hakulifanya hili peke yake. "Alikuwa Azaria aliyemwagiza Eliathi kujengwa" au "Alikuwa Azaria aliyesimamia kujengwa tena kwa Eliathi"
|
|
|
|
# Azaria
|
|
|
|
Huyu mfalme anafahamika sasa kwa jina la Uzia."
|
|
|
|
# Eliathi
|
|
|
|
mji mmoja katika Yuda
|
|
|
|
# kuirudishia Yuda
|
|
|
|
"kuirejesha ka Yuda"
|
|
|
|
# kulala na wazee wake
|
|
|
|
Hii ni heshima kusema alikufa.
|