forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
632 B
Markdown
28 lines
632 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
"Wakati ule"
|
|
|
|
# mwanzoni mwa mwaka
|
|
|
|
"kila mwaka majira ya machipuko" (UDB)
|
|
|
|
# Walipokuwa wakimzika mtu flani
|
|
|
|
"Kama baadhi ya Waisraeli walipokuwa wakiuzika mwili wa mtu"
|
|
|
|
# waliona kundi la Wamoabu
|
|
|
|
Inaweza kuwekwa wazi kwamba walikuwa wakiogopa Wamoabu. "waliona kundi la Wamoabu washambuliaji wakija kuwaelekea na waliogopa"
|
|
|
|
# kaburi la Elisha
|
|
|
|
"kaburi ambalo Elisha alizikwa"
|
|
|
|
# Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha
|
|
|
|
Hapa "mtu" inarejea kwa maiti yake. Hii inaweza kuwekwa wazi. ""Mara alipokufa mwili wake uliigusa mifupa ya Elisha"
|
|
|
|
# alifika na kusimama kwa miguu yake
|
|
|
|
"maiti ya mtu ilifufuka na kusimama juu"
|