forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.0 KiB
Markdown
28 lines
1.0 KiB
Markdown
# Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda
|
|
|
|
mwaka wa saba wa Yoashi mfalme wa Yuda - "Baada ya Yoashi kutawala Yuda kama miaka 37"
|
|
|
|
# utawala wa Yoashi mwana wa Yehoashi ulianza juu ya Israeli katika Samaria
|
|
|
|
"Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutwala juu ya Israeli katika Samaria"
|
|
|
|
# Yehoashi
|
|
|
|
Huyu alikuwa mfalmew aIsraeli ambaye alikuwa mwana wa Yehoahazi.
|
|
|
|
# Alifanya yaliyo maovu usoni mwani Yahwe
|
|
|
|
Hapa "uso" unawakilisha mwazo wa Yahwe au hukumu. "Alifanya mambo ambayo Yahwe aliyoyafikiria kuwa uovu"
|
|
|
|
# Hakuacha nyuma dhambi zake zozote za Yeroboamu
|
|
|
|
Kuacha kufanya dhambi inzungumziwa kana kwamba aliacha dhambi nyuma" Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Yoashi hakuacha kutenda dhambi kama Yeroboamu" "Yoashi aliendelea kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu"
|
|
|
|
# ambayo aliifanya Israeli kuasi
|
|
|
|
"ambayo Yeroboamu aliifanya Israeli kuasi"
|
|
|
|
# lakini alitembea katikati yao
|
|
|
|
Kutenda dhambi kunzungumziwa kana kwamba alikuwa akitembea karibu na njia ya dhamb. "lakini Yoashi anaendelea kufanya dhambi hizi hizi"
|