forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
571 B
Markdown
16 lines
571 B
Markdown
# mamia ya makamanda
|
|
|
|
Hii inarejea kwa maafisa waliosimamia walinzi wa kifalme na walinzi wa nyumba ya kifalme.
|
|
|
|
# Mtoeni kwenye safu
|
|
|
|
Safu ni mistari au mstari wa maaskari.
|
|
|
|
# Yeyote amfuataye
|
|
|
|
Inadokeza kwamba mtu aliyemfuata atakuwa anajaribu kumsaidia. "Yeyote anayemfuata kujaribu kumuokoa"
|
|
|
|
# wakamtwaa kadiri walivyokuwa wakiikaribia hiyo sehemu iliyokuwa na farasi wakaingia chini, na akauawa huko
|
|
|
|
Baadhi ya matoleo yanatafsiri hii kama "walinzi wakamtwaa na kumchukua hadi kwenye jumba la kifalme, hadi kwenye jumba la kifalme ambapo farasi huingia kwenye ua."
|