forked from WA-Catalog/sw_tn
746 B
746 B
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hili ni swali lisilohitaji majibu linaloweza kuandikwa kama sentensi. "yameandikwa kwenye Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Israeli."
Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria
Hii inamaanisha kwamba yehu alikufa. Hii inazungumzia yeye kuzikwa walipozikwa wazee wake kana kwamba alikuwa amelala pamoja nao. "Yehu akafa na kuzikwa katika Samaria, ambapo pia walizikwa wazee wake."
Yehoahazi
Hili ni jina lwa mwanamume.
Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane
miaka ishirini - "Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria kwa mda wa miaka ishirini na nane"
miaka ishirini na nane
miaka minane - "miaka 28"