forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
626 B
Markdown
20 lines
626 B
Markdown
# zao sabini
|
|
|
|
"zao 70"
|
|
|
|
# Yehu aliandika barua na kuwatuma kwenda Samaria
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba Yehu alituma mjumbe kupeleka barua. "Yehu aliandika barua na kumtuma mjumbe kuzipeleka Samaria"
|
|
|
|
# kusema, "Wa bwana wako
|
|
|
|
"Barua zilisema, 'Ya bwana wako"
|
|
|
|
# kumuweka juu ya kiti cha kifalme cha baba yake
|
|
|
|
Hapa, kumuweka juu ya kiti cha kifalme inamaanisha kuteuliwa kama mfalme. "kumfanya mfalme katika mahali pa baba yake"
|
|
|
|
# kwa ajili ya safu ya ufalme wa bwana wako
|
|
|
|
"uzao wa bwana wako" Hapa huyo mtu ambaye waliye mchagua kuwa mfalme anarejewa kwa safu ya uzao ufalme wa Ahabu. "kulinda uzao wa bwana wako" au "kumlinda"
|