forked from WA-Catalog/sw_tn
347 B
347 B
Sasa
Hili neno linatumika hapa kugawanya mwanzoni mwa hadithi. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.
yule mwanamke ambaye mwanaye alifufuliwa
Hadithi ya huyu mwanamke na mwanaye inapatikana kwenye 4:8.
alifufuliwa
"alisababisha akafufuliwa tena"
Inuka
"kuinika kutoka ulipo"
mtu wa Mungu
"Elisha, mtu wa Mungu"