forked from WA-Catalog/sw_tn
731 B
731 B
Basi mfalme wa Shamu alikuwa akipigana vita dhidi ya Israel
Wakati mfalme wa Sahmi alipokuwa kwenye vita pamoja na Israeli,"
Sasa
Hili neno limetumika hapa kugawanya katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.
akisema, "kambi yangu itakuwa sehemu flani
Mfalme wa Shamu alikuwa akiwaambia washauri wake wapi waweke kambi. Hapa nene "hivi na hivi" ni njia ya kurejea kwenye habari ya eneo la kambi bila kuiandika.
mtu wa Mungu
"Elisha mtu wa Mungu"
Kuwa makini usipite ile sehemu, kwa kuwa ndipo Washamu wanakoshukia hapo
Elisha alipajua mahali halisi ambapo Washami walipokuwa wanaenda kuweka kambi zao na kumshauri mfalme wa Israli kwa ajili ya maaskari wake kuiepuka hiyo sehemu.