forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
810 B
Markdown
24 lines
810 B
Markdown
# Yahwe
|
|
|
|
Hili ni jina la Yahwe ambalo alijifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
|
|
|
|
# Mtishbi
|
|
|
|
Hii inarejea kwa mtu kutoka mji wa Tishbi.
|
|
|
|
# Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
|
|
|
|
Hili swali lisilokuwa na majibu liliulizwa kama onyo kwa kujenga Baal Zebubu. Pengine hii inaweza kuandikwa kama sentensi.
|
|
|
|
# taka shauri na Baal Zebubu
|
|
|
|
Neno "taka shauri" maana yake kupata oni la mtu kuhusu swali.
|
|
|
|
# Kwa hiyo Yahwe asema
|
|
|
|
Huu ni ujumbe wa Yahwe kwa Mfalme Ahazia. "Kwa hiyo Yahwe anamwambia Mfalme Ahazia"
|
|
|
|
# Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda
|
|
|
|
Wakati Mfalme Ahazi alipoumia, alilazwa kitandani. Yahwe amesema hatapona na kuweza kuinuka kitandani. "Hutapona na hutainuka kutoka kitandani ambacho unacholalia"
|