sw_tn/2ch/36/05.md

12 lines
258 B
Markdown

# Akafanya ambayo yalikuwa maovu katika macho ya Yahwe.
Angalia sura ya 21:6
# Akamvamia.
Nebukadreza aliuvamia Yerusalemu.
# Nebukadreza pia akpeleka baadhi ya vitu.
Watumishi wa Nebukadreza walichukua vitu katika nyumba ya Yahwe na kuvipeleka Babeli.