sw_tn/2ch/33/01.md

267 B

Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yahwe.

Rejea sura ya 14:1

Kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambayo Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.

"Kama alivyowatendea watu wengine ambao Yahwe aliwasababisha kupigwa na watu wa Israeli".