sw_tn/2ch/17/03.md

8 lines
211 B
Markdown

# Alitembea katika njia ya baba yake.
Tabia inazungumzwa kama kutembea. "Aliishi katika njia za haki kama babu zake waliomtangulia.
# Hakuwatafuta mabaali.
Hakuiabudu miung ya Baali ili kutafuta msaada kwayo