forked from WA-Catalog/sw_tn
381 B
381 B
kuwa na mali huanguka katika majaribu, katika mtego
Paulo anaongea juu ya wale ambao vishawishi vya pesa vinawafanya waangukie katika shimo ambalo mwindaji amelitumia kama mtego
Huanguka katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya
huu ni mwendelezo wa fumbo la mtego. Hii inamaanisha kuwa tamaa zao za kijinga na mbaya zitawashinda.
watu ambao hutamani hiyo
wanaotamani fedha