sw_tn/1ti/06/09.md

381 B

kuwa na mali huanguka katika majaribu, katika mtego

Paulo anaongea juu ya wale ambao vishawishi vya pesa vinawafanya waangukie katika shimo ambalo mwindaji amelitumia kama mtego

Huanguka katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya

huu ni mwendelezo wa fumbo la mtego. Hii inamaanisha kuwa tamaa zao za kijinga na mbaya zitawashinda.

watu ambao hutamani hiyo

wanaotamani fedha