forked from WA-Catalog/sw_tn
18 lines
487 B
Markdown
18 lines
487 B
Markdown
# 1 Timotheo 05 Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
## Dhana muhimu katika sura hii
|
|
|
|
### Heshima na adabu
|
|
|
|
Paulo anawahimiza Wakristo wachanga kuwaheshimu na kuwaonyesha adabu Wakristo wazee. Mila huwaheshimu na kuwaonyesha adabu watu wazee kwa njia tofauti.
|
|
|
|
### Wajane
|
|
|
|
Nyakati za zamani katika Mashariki ya Karibu, ilikuwa ni muhimu kuwasaidia wajane kwa vile hawakuwa na uwezo wa kujipatia chakula.
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[1 Timothy 05:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__
|