sw_tn/1ti/05/23.md

985 B

Usinywe maji tena

Au "Unapaswa kuacha kuwa mnywaji wa maji," anaekunywa maji tu. Paulo hakatazi maji. Anapendekeza ya kwamba Timotheo atumie mvinyo kama dawa. Maji ya eneo lile husababisha madhara mara kwa mara.

Na huwatangulia hukumuni

"dhambi zao hutangulia mbele ya watu hao hukumuni."

lakini baadhi ya dhambi hufuata baadaye

"Lakini baadhi ya dhambi hufuata watu hao baadaye." Maana inawezekana ni 1) Timotheo hatajua kuhusu baadhi ya dhambi mpaka baadaye, au 2) Kanisa hawataweza kujua kuhusu baadhi ya dhambi mpaka baadaye, au 3) Mungu hata hukumu baadhi ya dhambi mpaka hukumu ya mwisho.

nzuri

Hapa "nzuri" ina maana wao wanaolingawa na tabia ya Mungu, makusudi yake, na mapenzi.

hata wengine hawawezi kujificha

"matendo mema mengine yatajulikana katika siku zijazo"

dhambi za baadhi ya watu zinajulikana wazi

Hii inaweza semwa kama "Dhambi za watu wengine ni dhahiri sana"

baadhi ya matendo mema yanajulikana wazi

"baadhi ya matendo mema ni dhahiri"