sw_tn/1ti/03/16.md

401 B

Katika mwili

Paulo anatumia neno "mwili" hapa kumaanisha Binadamu.

akaonekana na malaika

Hii unaweza pia kusema, "Malaika walimwona"

Alidhibitishwa na Roho

"Roho Mtakatifu alituhakikishia Yesu alikuwa ambaye alisema alikuwa"

alitangazwa kati ya mataifa

"watu wa mataifa mengi waliwaambia wengine kuhusu Yesu"

akaaminiwa kweye ulimwengu

"pande nyingi za ulimwengu zilimwamini Yesu"