sw_tn/1ti/03/14.md

655 B

Kauli Unganishi:

Paulo anamwambia Timotheo sababu iliyomfanya amwndikie barua na kisha anamweleza juu ya uungu wa Kristo.

Na nina tumaini kuja kwako upesi

"ijapokuwa ninatumaini kuja upesi sana"

lakini ikiwa nitachelewa

Lakini ikitokea siwezi kufanya hivyo upesi au "lakini ikiwa kitu chochote kitanizuia kuwa hapo upesi"

katika nyumba ya Mungu

Paulo anaongelea juu ya kikundi cha walioamini kama ni familia moja.

Mungu anayeishi

Msemo huu unamwelezea Mungu kama ndiye atoaye uzima.

Nguzo na mtetezi wa kweli

Paulo anaongea juu ya walioamini na kuibeba kweli kuhusu Kristo kama vile wao ni nguzo na msingi unaoshikilia jengo lote.