forked from WA-Catalog/sw_tn
654 B
654 B
Takatifu, haki, na bila lawama
Paulo ametumia maneno matatu ambayo kimsingi ni kitu kimoja na kusisitiza kwamba wao tulipokuwa njia nzuri sana.
Baba na watoto wake mwenyewe
Paulo analinganisha jinsi baba kuwafundisha watoto wake kuishi na jinsi wao kuwahimiza na kuwahamasisha waumini kutembea kwa namna ambayo inamstahili Mungu
sisi kukuhimiza na kukuhamasisha wewe
Maneno "kuwahimiza" na "kukuhamasisha" kimsingia ni kitu kimoja. Paulo anayatumia kusisitiza (passionately) wamewahamasisha Wathesalonike "sisi ni nguvu kukuhamasisha wewe
kwenye ufalme na utukufu wake.
Neno "utukufu" inaelezea neno "Ufalme." "kwa ufalme wake mtukufu".