sw_tn/1th/02/10.md

654 B

Takatifu, haki, na bila lawama

Paulo ametumia maneno matatu ambayo kimsingi ni kitu kimoja na kusisitiza kwamba wao tulipokuwa njia nzuri sana.

Baba na watoto wake mwenyewe

Paulo analinganisha jinsi baba kuwafundisha watoto wake kuishi na jinsi wao kuwahimiza na kuwahamasisha waumini kutembea kwa namna ambayo inamstahili Mungu

sisi kukuhimiza na kukuhamasisha wewe

Maneno "kuwahimiza" na "kukuhamasisha" kimsingia ni kitu kimoja. Paulo anayatumia kusisitiza (passionately) wamewahamasisha Wathesalonike "sisi ni nguvu kukuhamasisha wewe

kwenye ufalme na utukufu wake.

Neno "utukufu" inaelezea neno "Ufalme." "kwa ufalme wake mtukufu".